fbpx

Fungua Akaunti Isiyo na Makato Yoyote 

  • Haijalishi Kazi Uliyonayo
  • Hata Kama Unakipato Kidogo
  • Hata Kama Huna NIDA

Akaunti Tatu (3) Za Faida Kwako

 Akaunti ya Mavuno

Faida ya Bima ya Usafiri

  • IInakava malazi ya Hospitalini
  • Huduma ya Ambulance
  • Huduma za kitabibu (Ushauri na dawa).

Akaunti ya Vijana

Faida ya Bima ya Afya

  • Inakava malazi ya Hospitalini
  • Huduma ya Ambulance
  • Huduma za kitabibu (Ushauri na dawa).

Akaunti ya Uchumi

Faida ya Bima ya Makazi

  • Inakava malazi ya Hospitalini
  • Huduma ya Ambulance
  • Huduma za kitabibu (Ushauri na dawa).

Unasubiri Nini?

Hakuna sababu ya kukatwa pesa zako kila mwezi na kila unapotoa pesa. Makato basi. Fungua akaunti zenye faida kwa maendele yako.

Wateja Wetu Wanasemaje?

Ikitokea haupo,hakikisha hawadondoki

Fungua akaunti ya akiba unufaike na BIMA inayoKAVA majanga ya kifo pale utapo ondokewa na mwenza wako au wewe mwenyewe au ulemavu wa kudumu..

Mteja mwenye Akauti ya Akiba

wapo una akaunti ya akiba utapata faraja ya rambirambi ya hadi Tsh Mil. 2

Mteja aliye nje ya nchi

Kama upo nje ya nchi utapata hadi Tsh. Mil.5 na kusaidiwa gharama za usafirishaji zisizozodi Tsh Mil.15

Mteja wa Premium

Iwapo ni mteja wa premium, utapata rambirambi ya hadi Tsh Mil.5

Usikwame!

Maisha ni rahisi na salama pale unapoweza kufanya yote unayotaka kufanya bila kikwazo. Sisi tumekuondolea vikwazo vya makato kwenye miamala yako pamoja na gharama za uendeshaji wa akaunti yako za kila mwezi. Nia yetu ni kukuwezesha usikwame kufikia malengo yako kwa wakati sahihi. 

Copyright © 2020. All rights reserved.